SM
Simon Mashalla
37quotes
Quotes by Simon Mashalla
Simon Mashalla's insights on:
"
Kabla hujanifahamu tayari nimeshakujua, na ukinifahamu utaona pasipo kujijua, na huwezi kunijua.
"
Mwanamke bora anahitaji zawadi bora katika maisha yake, hawezi kukwambia na wala haifahamu.
"
Haipendezi kuchezea ndoa, iwe yako au ya mwenzako, kama kizibo cha soda. Matokeo yake ni uchafu wa thamani ya utu! Heshimu ndoa ili kutunza heshima yako.
"
Si vizuri kuonyesha moyo wa upendo kwa wanao, kwani hiyo ni hekima ya kukataliwa, isipokuwa kwa wengine.
Showing 1 to 10 of 37 results